BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, October 27, 2010

"SEMA"- WIMBO MPYA WA RAZY FLAVA KUTOKA TANGA TOWN!!

Unataka kujua kuwa Tanga kuna vipaji vya muziki...?? Chukua muda wako na usikilize wimbo huu wa huyu kijana anaitwa Razy Flava!!! Wimbo unaitwa "Sema" umetengenezwa pale Mwambao Records producer akiwa Nass B. Alikuwa mshindi wa kwanza kwenye mchakato wa kutafuta vijana wenye vipaji vya kuimba. Pembeni kulia palipoandikwa SIKILIZA TANGA FLAVA HAPA!!

No comments:

Post a Comment