BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Saturday, October 30, 2010

TWENDE TUKAPIGE KURA MTANZANIA!!

Naitakia kheri ya uchaguzi wa haki na salama nchi yangu ya Tanzania katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu. Nawasihi watu wote waliojiandikisha kupiga kura waitumie nafasi hii ambayo hutokea kila baada ya miaka mitano katika kuchagua Rais, Mbunge na Diwani.

Kapige kura tarehe 31/10/2010 siku ya Jumapili, ni haki yako ya msingi. ANKO MO BLOGSPOT inakutakia kila la kheri.

No comments:

Post a Comment