BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, September 29, 2010

AHMED KHATIBU- "WAWOOOOOO!!!!!"

Mtangazaji mahiri wa kituo cha redio cha Mwambao Fm jijini Tanga Ahmed Khatibu, akiwa katika pozz. Ahmed anatangaza kipindi cha Amka na Mwambao ambacho kinarushwa kila siku asubuhi, anatangaza pia Arabain Flava, Nyumba ya Mwafrika pamoja na kipindi cha Michezo. Mwambao Fm inapatikana katika masafa ya 106.6 ukiwa mkoani Tanga.

No comments:

Post a Comment