BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, September 23, 2010

MATUKIO KATIKA PICHA!

Mgombea ubunge wa jimbo la Korogwe mjini kupitia CCM,Yussph Nassir akizungumza na wanawake wa Wilaya ya Korogwe mara baada ya kupewa nafasi na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete kujinadi,mke huyo wa Rais alikuwa mjini hapa ikiwa ni sehemu ya ziara yake nchini ya kampeni.

Mke wa Mama Salma Kikwete akicheza wimbo wa pipii wa Marlow wakati akiwa katika mkutano wa ndani wa kampeni ya umnadi mumewe na wagombea wa ubunge na udiwani wa CCM uliofanyika ukumbi wa Mamba Club mjini Korogwe juzi.

Mbunge anayewakilisha walemavu Al Shaymaa Kwegyir akisakata rumba wakati wa mkutano uliohutubiwa na mke wa Rais Mama Salma Kikwete

Na Sussan Uhinga, Korogwe.

No comments:

Post a Comment